Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na abarikiwe Yehova Mungu wa mababu zetu,+ ambaye ameweka jambo hili katika moyo+ wa mfalme, kuirembesha+ nyumba ya Yehova, iliyoko Yerusalemu!

  • Nehemia 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nikaendelea kumwambia mfalme: “Ikiwa inaonekana vema kwa mfalme, na nipewe barua+ kwa magavana+ walio ng’ambo ya Mto,+ ili waniruhusu nipite mpaka nifike Yuda;

  • Isaya 49:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na wafalme watakuwa watunzaji kwa ajili yako,+ na binti zao wa kifalme watakuwa wanawake wenye kutunza kwa ajili yako.+ Watakuinamia wewe kifudifudi, nao watayaramba mavumbi ya miguu yako;+ nawe utajua kwamba mimi ni Yehova, ambaye wale wanaonitumaini mimi hawataona aibu.”+

  • Ufunuo 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na mataifa yatatembea kwa njia ya nuru yake,+ na wafalme wa dunia wataleta utukufu wao ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki