Ezra 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Nami mwenyewe, Mfalme Artashasta, nimetoa agizo+ kwa waweka-hazina+ wote walioko ng’ambo ya Mto,+ kwamba kila kitu anachowaomba Ezra+ kuhani, mwandikaji wa sheria ya Mungu wa mbinguni, kitafanywa mara moja, Nehemia 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe nikaja kwa magavana+ walio ng’ambo ya Mto na kuwapa barua za mfalme. Tena mfalme akanituma pamoja na wakuu wa jeshi na wapanda-farasi.
21 “Nami mwenyewe, Mfalme Artashasta, nimetoa agizo+ kwa waweka-hazina+ wote walioko ng’ambo ya Mto,+ kwamba kila kitu anachowaomba Ezra+ kuhani, mwandikaji wa sheria ya Mungu wa mbinguni, kitafanywa mara moja,
9 Mwishowe nikaja kwa magavana+ walio ng’ambo ya Mto na kuwapa barua za mfalme. Tena mfalme akanituma pamoja na wakuu wa jeshi na wapanda-farasi.