Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, nilichukua mimba ya watu hawa wote? Je, ni mimi niliyewazaa, hivi kwamba uniambie, ‘Wabebe kifuani pako,+ kama vile mwanamume mlezi anavyombeba mtoto anayenyonya,’+ mpaka katika nchi uliyowaapia mababu zao?+

  • Isaya 52:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 vivyo hivyo atayashtua mataifa mengi.+ Wafalme watafunga kinywa chao mbele yake,+ kwa sababu kwa kweli wataona yale ambayo hawakuwa wamepata kusimuliwa, nao watafikiria mambo ambayo hawakuwa wamepata kusikia.+

  • Isaya 60:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wageni kwa kweli watazijenga kuta zako,+ na wafalme wao wenyewe watakuhudumia;+ kwa maana nitakuwa nimekwisha kukupiga katika ghadhabu yangu,+ lakini katika nia yangu njema hakika nitakuwa nimekuonyesha rehema.+

  • Isaya 60:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nawe kwa kweli utanyonya maziwa ya mataifa,+ utanyonya matiti ya wafalme;+ nawe utajua hakika kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako, na Mwenye Nguvu+ wa Yakobo ni Mkombozi+ wako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki