12 Je, nilichukua mimba ya watu hawa wote? Je, ni mimi niliyewazaa, hivi kwamba uniambie, ‘Wabebe kifuani pako,+ kama vile mwanamume mlezi anavyombeba mtoto anayenyonya,’+ mpaka katika nchi uliyowaapia mababu zao?+
15 vivyo hivyo atayashtua mataifa mengi.+ Wafalme watafunga kinywa chao mbele yake,+ kwa sababu kwa kweli wataona yale ambayo hawakuwa wamepata kusimuliwa, nao watafikiria mambo ambayo hawakuwa wamepata kusikia.+
10 Na wageni kwa kweli watazijenga kuta zako,+ na wafalme wao wenyewe watakuhudumia;+ kwa maana nitakuwa nimekwisha kukupiga katika ghadhabu yangu,+ lakini katika nia yangu njema hakika nitakuwa nimekuonyesha rehema.+
16 Nawe kwa kweli utanyonya maziwa ya mataifa,+ utanyonya matiti ya wafalme;+ nawe utajua hakika kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako, na Mwenye Nguvu+ wa Yakobo ni Mkombozi+ wako.