Hesabu 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, ni mimi niliyebeba mimba ya watu hawa wote? Je, ni mimi niliyewazaa ndiyo sababu unaniambia, ‘Wabebe kifuani pako, kama mlezi* anavyombeba mtoto mchanga,’ na kuwapeleka katika nchi uliyoapa kwamba utawapa mababu zao?+
12 Je, ni mimi niliyebeba mimba ya watu hawa wote? Je, ni mimi niliyewazaa ndiyo sababu unaniambia, ‘Wabebe kifuani pako, kama mlezi* anavyombeba mtoto mchanga,’ na kuwapeleka katika nchi uliyoapa kwamba utawapa mababu zao?+