Hesabu 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, nilichukua mimba ya watu hawa wote? Je, ni mimi niliyewazaa, hivi kwamba uniambie, ‘Wabebe kifuani pako,+ kama vile mwanamume mlezi anavyombeba mtoto anayenyonya,’+ mpaka katika nchi uliyowaapia mababu zao?+
12 Je, nilichukua mimba ya watu hawa wote? Je, ni mimi niliyewazaa, hivi kwamba uniambie, ‘Wabebe kifuani pako,+ kama vile mwanamume mlezi anavyombeba mtoto anayenyonya,’+ mpaka katika nchi uliyowaapia mababu zao?+