Isaya 57:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Nilikuwa na ghadhabu kutokana na makosa ya pato lake lisilo la haki,+ nami nikampiga, nikiuficha uso wangu,+ nilipokuwa na ghadhabu. Lakini yeye aliendelea kutembea akiwa mwasi+ katika njia ya moyo wake.
17 “Nilikuwa na ghadhabu kutokana na makosa ya pato lake lisilo la haki,+ nami nikampiga, nikiuficha uso wangu,+ nilipokuwa na ghadhabu. Lakini yeye aliendelea kutembea akiwa mwasi+ katika njia ya moyo wake.