Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+

      Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+

  • Isaya 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+

  • Isaya 64:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na kutoka zamani za kale hakuna aliyesikia,+ wala hakuna aliyetega sikio, wala hakuna jicho lililomwona Mungu, isipokuwa wewe,+ unayetenda kwa ajili ya mtu anayeendelea kumtarajia huyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki