9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+
4 Na kutoka zamani za kale hakuna aliyesikia,+ wala hakuna aliyetega sikio, wala hakuna jicho lililomwona Mungu, isipokuwa wewe,+ unayetenda kwa ajili ya mtu anayeendelea kumtarajia huyo.+