1 Wakorintho 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+
9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+