3 Wakati huo Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto+ na Shethar-bozenai na wenzao wakaja kwao, na kuwaambia hivi: “Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?”+
7 Nao Melatia Mgibeoni+ na Yadoni Mmeronothi,+ wakafanya kazi ya kurekebisha kando yao, watu wa Gibeoni+ na Mispa,+ walio wa kiti cha gavana+ ng’ambo ya Mto.+