Ezra 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Basi Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto,+ Shethar-bozenai+ na wenzao, magavana+ wadogo walio ng’ambo ya Mto, msikaribie mahali hapo.+ Ezra 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Tatenai gavana wa ng’ambo ya Mto,+ Shethar-bozenai,+ na wenzao, wakafanya mara moja kulingana na neno ambalo Mfalme Dario alikuwa ametoa.
6 “Basi Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto,+ Shethar-bozenai+ na wenzao, magavana+ wadogo walio ng’ambo ya Mto, msikaribie mahali hapo.+
13 Ndipo Tatenai gavana wa ng’ambo ya Mto,+ Shethar-bozenai,+ na wenzao, wakafanya mara moja kulingana na neno ambalo Mfalme Dario alikuwa ametoa.