Ezra 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto, Shethar-bozenai,+ na wenzao, wakatekeleza bila kukawia kila jambo ambalo Mfalme Dario alikuwa ameagiza. Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:13 Mnara wa Mlinzi,6/15/1993, uku. 32
13 Ndipo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto, Shethar-bozenai,+ na wenzao, wakatekeleza bila kukawia kila jambo ambalo Mfalme Dario alikuwa ameagiza.