Ezra 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati huo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto* na Shethar-bozenai na wenzao wakaja na kuwauliza: “Ni nani aliyewaagiza mjenge nyumba hii na kukamilisha nguzo hizi?”* Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:3 Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),Na. 3 2017, uku. 9
3 Wakati huo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto* na Shethar-bozenai na wenzao wakaja na kuwauliza: “Ni nani aliyewaagiza mjenge nyumba hii na kukamilisha nguzo hizi?”*