Ezra 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati huo Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto+ na Shethar-bozenai na wenzao wakaja kwao, na kuwaambia hivi: “Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?”+ Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:3 Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),Na. 3 2017, uku. 9
3 Wakati huo Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto+ na Shethar-bozenai na wenzao wakaja kwao, na kuwaambia hivi: “Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?”+