Ezra 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+ Ezra 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo tukawauliza hao wanaume wazee. Tuliwaambia hivi: ‘Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?’+
3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+
9 Ndipo tukawauliza hao wanaume wazee. Tuliwaambia hivi: ‘Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?’+