21 ili kulitimiza neno la Yehova kupitia kinywa cha Yeremia,+ mpaka nchi ilipokuwa imelipa sabato zake.+ Siku zote za kukaa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+
7 Pia, Mfalme Koreshi mwenyewe akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova,+ ambavyo Nebukadneza alikuwa ameleta kutoka Yerusalemu+ na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+
10 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa.’+