Isaya 49:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yehova anasema hivi: “Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+ Nitawapinga wale wanaokupinga,+Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 49:25 ip-2 149-151 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 49:25 Unabii wa Isaya II, kur. 149-151
25 Lakini Yehova anasema hivi: “Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+ Nitawapinga wale wanaokupinga,+Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe.