Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitawaruhusu mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawakusanya mateka wenu na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote nilizowatawanya,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha mahali nilipowatoa nikawapeleka uhamishoni.’+

  • Yeremia 46:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 ‘Lakini wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope,

      Usiwe na hofu, Ee Israeli.+

      Kwa maana, nitakuokoa kutoka mbali sana

      Na uzao wako* kutoka katika nchi walikopelekwa utekwani.+

      Yakobo atarudi na kuwa na utulivu bila usumbufu,

      Bila mtu wa kuwaogopesha.+

  • Hosea 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Zaidi ya hayo, enyi watu wa Yuda, wakati wa mavuno umetengwa kwa ajili yenu,

      Nitakapowakusanya watu wangu waliotekwa.”+

  • Yoeli 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kwa maana tazama! katika siku hizo na wakati huo,

      Nitakapowarudisha mateka wa Yuda na Yerusalemu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki