Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 126:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 126 Yehova alipowakusanya na kuwarudisha mateka wa Sayuni,+

      Tulifikiri tunaota ndoto.

  • Hosea 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Zaidi ya hayo, enyi watu wa Yuda, wakati wa mavuno umetengwa kwa ajili yenu,

      Nitakapowakusanya watu wangu waliotekwa.”+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+

      Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+

      Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+

      Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+

  • Sefania 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wakati huo nitawaleta ndani,

      Wakati nitakapowakusanya pamoja.

      Kwa maana nitawafanya kuwa kitu cha umaarufu* na sifa+ miongoni mwa mataifa yote duniani,

      Nitakapowakusanya mateka wenu mbele ya macho yenu,” asema Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki