27 “‘Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo, wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yako ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi, hatakuwa na usumbufu naye atastarehe na kusiwe na yeyote wa kumtetemesha.+