Yeremia 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa katika usalama.+ Na hili ndilo jina lake atakaloitwa, Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+ Yeremia 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa hivi, Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+ Ezekieli 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+
6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa katika usalama.+ Na hili ndilo jina lake atakaloitwa, Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+
16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa hivi, Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+
25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+