Waamuzi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo Yuda akaenda, kisha Yehova akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao,+ nao wakawashinda katika Bezeki, watu elfu kumi. Waamuzi 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akamtia Sihoni na watu wake wote mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga na Israeli wakaimiliki nchi yote ya Waamori waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.+
4 Kwa hiyo Yuda akaenda, kisha Yehova akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao,+ nao wakawashinda katika Bezeki, watu elfu kumi.
21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akamtia Sihoni na watu wake wote mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga na Israeli wakaimiliki nchi yote ya Waamori waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.+