Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Tena Yehova akawapa pumziko+ kuwazunguka pande zote, kulingana na kila kitu ambacho alikuwa amewaapia+ mababu zao, wala hakuna mmoja kati ya adui zao wote aliyesimama mbele yao.+ Yehova aliwatia adui zao wote mkononi mwao.+

  • Yoshua 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi Yehova alipokuwa amekwisha kuwapa Israeli pumziko+ kutoka kwa adui zao wote kuzunguka pande zote, wakati Yoshua alipokuwa mzee na mwenye siku nyingi,+

  • Yeremia 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova amesema hivi: “Simameni tuli katika njia, na kuona, na kuuliza juu ya barabara za zamani za kale, mahali ambapo sasa pana njia nzuri;+ na mtembee ndani yake,+ na kustarehesha nafsi zenu.”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutatembea.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki