Hesabu 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Musa akawaambia: “Ikiwa mtafanya hivyo, ikiwa mtajitayarisha mbele za Yehova kwa ajili ya vita,+ Yoshua 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 naye akawaambia: “Ninyi kwa upande wenu mmetimiza mambo yote ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru,+ nanyi mmeitii sauti yangu katika mambo yote ambayo nimewaamuru.+
20 Basi Musa akawaambia: “Ikiwa mtafanya hivyo, ikiwa mtajitayarisha mbele za Yehova kwa ajili ya vita,+
2 naye akawaambia: “Ninyi kwa upande wenu mmetimiza mambo yote ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru,+ nanyi mmeitii sauti yangu katika mambo yote ambayo nimewaamuru.+