Hesabu 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Musa akawaambia: “Ikiwa mtafanya hivyo, ikiwa mtajitayarisha mbele za Yehova kwa ajili ya vita,+ Kumbukumbu la Torati 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Basi nikawaamuru ninyi wakati huo, na kusema, ‘Yehova Mungu wenu amewapa nchi hii mpate kuimiliki. Mtavuka, mkiwa tayari na silaha, mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, wanaume wote mashujaa.+
20 Basi Musa akawaambia: “Ikiwa mtafanya hivyo, ikiwa mtajitayarisha mbele za Yehova kwa ajili ya vita,+
18 “Basi nikawaamuru ninyi wakati huo, na kusema, ‘Yehova Mungu wenu amewapa nchi hii mpate kuimiliki. Mtavuka, mkiwa tayari na silaha, mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, wanaume wote mashujaa.+