Zaburi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+ Zaburi 40:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na hao washangilie na kukufurahia wewe,+Wale wote wanaokutafuta.+Na waseme daima: “Yehova na atukuzwe,”+Wale wanaopenda wokovu wako.+
11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+
16 Na hao washangilie na kukufurahia wewe,+Wale wote wanaokutafuta.+Na waseme daima: “Yehova na atukuzwe,”+Wale wanaopenda wokovu wako.+