Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Basi sasa, tazameni! leo mimi ninaenda katika njia ya dunia yote,+ nanyi mnajua vema kwa mioyo yenu yote na kwa nafsi zenu zote kwamba halikukosa kutimia hata neno moja kati ya maneno yote mema ambayo Yehova Mungu wenu amewaambia ninyi. Yote yametimia kwenu. Halikukosa kutimia hata neno moja kati ya hayo.+

  • 1 Samweli 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na zaidi ya hayo, Mtukufu wa Israeli+ hatasema uwongo,+ wala Yeye hataona majuto, kwa maana Yeye si mtu wa udongo hata aone majuto.”+

  • 1 Wafalme 8:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 “Abarikiwe Yehova,+ ambaye amewapa watu wake Israeli mahali pa kupumzika kulingana na yote ambayo ameahidi.+ Halikupungua hata neno moja+ kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo ameahidi kupitia Musa mtumishi wake.+

  • Waebrania 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki