16 Kati ya watu hao wote kulikuwa na watu 700 waliochaguliwa, wenye kutumia mkono wa kushoto.+ Kila mmoja wa hao alikuwa mtupa-mawe+ kwa kombeo na angeweza kupiga shabaha unywele, bila kukosea.
49 Ndipo Daudi akatia mkono wake ndani ya mfuko wake, akachukua jiwe kutoka humo, akalitupa kwa kombeo, hivi kwamba akampiga+ yule Mfilisti katika paji la uso wake, na lile jiwe likapenya ndani ya paji la uso wake, naye akaanguka kifudifudi.+