10Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+
15Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Yehova alinituma mimi nikutie mafuta+ uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa isikilize sauti ya maneno ya Yehova.+
3 Nawe uchukue chupa ya mafuta uyamimine juu ya kichwa+ chake na kusema, ‘Yehova amesema hivi: “Ninakutia mafuta+ uwe mfalme+ juu ya Israeli.”’ Nawe ufungue mlango, ukimbie, wala usingoje.”