34 Mwishowe akaenda juu, akajilaza juu ya yule mtoto,+ akakitia kinywa chake juu ya kinywa chake, na macho yake juu ya macho yake, na mikono yake juu ya mikono yake, akaendelea kuinama juu yake, na hatua kwa hatua mwili wa mtoto ukawa na joto.
35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.