1 Wafalme 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akajinyoosha juu ya yule mtoto+ mara tatu na kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova, Mungu wangu, tafadhali, irudishe nafsi+ ya mtoto huyu ndani yake.” Matendo 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini Paulo akashuka kutoka ghorofani, akajitupa juu yake+ akamkumbatia na kusema: “Acheni kufanya kelele, kwa maana nafsi yake imo ndani yake.”+
21 Naye akajinyoosha juu ya yule mtoto+ mara tatu na kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova, Mungu wangu, tafadhali, irudishe nafsi+ ya mtoto huyu ndani yake.”
10 Lakini Paulo akashuka kutoka ghorofani, akajitupa juu yake+ akamkumbatia na kusema: “Acheni kufanya kelele, kwa maana nafsi yake imo ndani yake.”+