Mathayo 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+ Marko 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na, baada ya kuingia, akawaambia: “Kwa nini mnatokeza mvurugo wenye kelele na kulia? Mtoto mchanga hakufa, bali analala usingizi.”+ Yohana 11:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Yesu akamwambia: “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”+ Matendo 9:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+
24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+
39 na, baada ya kuingia, akawaambia: “Kwa nini mnatokeza mvurugo wenye kelele na kulia? Mtoto mchanga hakufa, bali analala usingizi.”+
40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+