Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+

  • Marko 5:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na, baada ya kuingia, akawaambia: “Kwa nini mnatokeza mvurugo wenye kelele na kulia? Mtoto mchanga hakufa, bali analala usingizi.”+

  • Yohana 11:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Yesu akamwambia: “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”+

  • Matendo 9:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki