Mathayo 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi, alipoingia katika nyumba ya yule mtawala+ na kuwaona wapiga-filimbi na umati wa watu wakipiga kelele kwa kuvurugika,+ Luka 8:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili yake. Kwa hiyo akasema: “Acheni kulia,+ kwa maana hakufa bali analala usingizi.”+ Yohana 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+
23 Basi, alipoingia katika nyumba ya yule mtawala+ na kuwaona wapiga-filimbi na umati wa watu wakipiga kelele kwa kuvurugika,+
52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili yake. Kwa hiyo akasema: “Acheni kulia,+ kwa maana hakufa bali analala usingizi.”+
11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+