Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa katikati yetu, nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule ulio wa mwana mzaliwa-pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa fadhili nyingi zisizostahiliwa na kweli.+

  • Yohana 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yule anayemwamini hatahukumiwa.+ Yule ambaye hamwamini amehukumiwa tayari, kwa sababu hana imani katika jina la Mwana mzaliwa-pekee wa Mungu.+

  • Waroma 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kwa sababu wale aliowapa utambuzi+ wake wa kwanza pia aliwaagiza kimbele+ wafananishwe+ na mfano+ wa Mwana wake, ili awe mzaliwa wa kwanza+ kati ya ndugu+ wengi.

  • Wakolosai 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeye ndiye mfano+ wa Mungu asiyeonekana,+ mzaliwa wa kwanza+ wa viumbe vyote;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki