Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mimi na Baba ni kitu kimoja.”+

  • Yohana 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yesu akamwambia: “Je, nimekuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu sana hivyo, na bado, Filipo, hujanijua? Yule ambaye ameniona mimi amemwona Baba+ pia. Kwa nini unasema, ‘Tuonyeshe Baba’?+

  • 2 Wakorintho 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki