9 Yesu akamwambia: “Je, nimekuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu sana hivyo, na bado, Filipo, hujanijua? Yule ambaye ameniona mimi amemwona Baba+ pia. Kwa nini unasema, ‘Tuonyeshe Baba’?+
4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+