Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.” Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”
7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+