Zaburi 47:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha,+Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+ Zaburi 66:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Njooni mwone matendo ya Mungu.+Kushughulika kwake na wana wa binadamu kunaogopesha.+