Ezekieli 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini aliasi sheria zangu* na amri zangu, akatenda uovu zaidi kuliko mataifa na nchi zinazomzunguka pande zote.+ Kwa maana wamekataa sheria zangu, nao hawakutembea katika amri zangu.’
6 Lakini aliasi sheria zangu* na amri zangu, akatenda uovu zaidi kuliko mataifa na nchi zinazomzunguka pande zote.+ Kwa maana wamekataa sheria zangu, nao hawakutembea katika amri zangu.’