2 Samweli 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Shimei akalaani akisema: “Ondoka, ondoka, wewe mtu mwenye hatia ya damu+ na asiyefaa kitu!+ Zaburi 62:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa kweli wanatoa mashauri ili kumshawishi mtu avunje heshima yake;+Wanafurahia uwongo.+Wanabariki kwa kinywa chao, lakini ndani yao wanalaani.+ Sela.
4 Kwa kweli wanatoa mashauri ili kumshawishi mtu avunje heshima yake;+Wanafurahia uwongo.+Wanabariki kwa kinywa chao, lakini ndani yao wanalaani.+ Sela.