Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘Watu wasiofaa kitu wametokea katikati yako+ ili wajaribu kuwageuzia mbali wakaaji wa jiji lao,+ kwa kusema: “Twende tukaitumikie miungu mingine,” ambayo hamjaijua,’

  • 1 Samweli 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu;+ hawakumtambua Yehova.+

  • 1 Samweli 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na sasa ujue na kuona jambo la kufanya, kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote, kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye.”

  • Ayubu 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Je, mtu atamwambia mfalme, ‘Wewe hufai kitu’?

      Atawaambia watu wenye vyeo, ‘Ninyi ni waovu’?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki