Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+

  • Methali 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Zaidi ya hayo, si vema kumtoza mwadilifu.+ Kuwapiga watu wenye kuheshimika ni kinyume cha jambo lililonyooka.+

  • Mhubiri 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”

  • Mhubiri 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki