Kutoka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+ Methali 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Zaidi ya hayo, si vema kumtoza mwadilifu.+ Kuwapiga watu wenye kuheshimika ni kinyume cha jambo lililonyooka.+ Mhubiri 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’” Mhubiri 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+
26 Zaidi ya hayo, si vema kumtoza mwadilifu.+ Kuwapiga watu wenye kuheshimika ni kinyume cha jambo lililonyooka.+
4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”
20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+