2 Samweli 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Shimei akalaani akisema: “Ondoka, ondoka, wewe mtu mwenye hatia ya damu+ na asiyefaa kitu!+ Ayubu 34:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Je, mtu atamwambia mfalme, ‘Wewe hufai kitu’?Atawaambia watu wenye vyeo, ‘Ninyi ni waovu’?+