Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na jina la mtu huyo lilikuwa Nabali,+ na jina la mke wake lilikuwa Abigaili.+ Naye mke huyo alikuwa mwenye busara+ njema na mrembo wa umbo, lakini mume alikuwa mkali na mwenye matendo mabaya;+ naye alikuwa Mkalebu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na watu wazembe,+ watu wasiofaa kitu,+ wakaendelea kujikusanya kando yake. Mwishowe wakawa na nguvu kuliko Rehoboamu mwana wa Sulemani, wakati Rehoboamu+ alipokuwa mchanga na mwenye moyo mwoga,+ naye hakuweza kusimama kupigana nao.

  • Isaya 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye mtu asiye na msimamo, vyombo vyake ni vibaya;+ yeye ametoa shauri kwa ajili ya matendo ya mwenendo mpotovu,+ kuwavunja wenye kuteseka kwa maneno ya uwongo,+ hata maskini anaposema jambo lililo haki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki