Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na sasa ujue na kuona jambo la kufanya, kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote, kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye.”

  • 1 Samweli 25:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Daudi alikuwa amesema: “Ni kwa ajili ya kukatishwa tamaa tu kwamba nililinda kila kitu cha mtu huyu nyikani wala hakuna hata kitu kimoja kati ya vyote vilivyo vyake ambacho kilipotea,+ na bado ananilipa uovu kwa ajili ya wema.+

  • Isaya 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtu asiye na akili hataitwa tena mkarimu; naye mtu asiye na msimamo hatasemwa kuwa ni mheshimiwa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki