17 Na sasa ujue na kuona jambo la kufanya, kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote, kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye.”
21 Naye Daudi alikuwa amesema: “Ni kwa ajili ya kukatishwa tamaa tu kwamba nililinda kila kitu cha mtu huyu nyikani wala hakuna hata kitu kimoja kati ya vyote vilivyo vyake ambacho kilipotea,+ na bado ananilipa uovu kwa ajili ya wema.+