Isaya 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ole wao wanaosema kwamba wema ni ubaya na ubaya ni wema,+ wale wanaoweka giza badala ya nuru na nuru badala ya giza, wale wanaoweka uchungu badala ya utamu na utamu badala ya uchungu!+ Malaki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+
20 Ole wao wanaosema kwamba wema ni ubaya na ubaya ni wema,+ wale wanaoweka giza badala ya nuru na nuru badala ya giza, wale wanaoweka uchungu badala ya utamu na utamu badala ya uchungu!+
18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+