20 “Ikiwa utachuma mzeituni wako, usipitie matawi yake tena. Huo wapaswa kukaa hivyo kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane.+
6 Na lazima ndani yake pabaki masalio kama kunapokuwa na upigaji wa mzeituni: zeituni mbili au tatu zilizoiva juu ya tawi; nne au tano juu ya matawi yanayozaa matunda hapo,” asema Yehova Mungu wa Israeli.+