13 Nawe utasema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Nimeondolea mbali kilicho kitakatifu kutoka katika nyumba nami pia nimempa Mlawi na mkaaji mgeni, na mvulana asiye na baba na mjane,+ kulingana na amri yako yote ambayo umenipa mimi. Sijavunja amri zako, wala sijasahau.+