Zaburi 119:141 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 141 Mimi ni mnyonge na wa kudharaulika.+Sijayasahau maagizoyako.+ Methali 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanangu, usiisahau sheria yangu,+ na moyo wako upate kushika amri zangu,+ Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.
16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.