Kumbukumbu la Torati 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+ Zaburi 119:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Unifanye nielewe, ili nipate kuishika sheria yako+Nami nipate kuishika kwa moyo wote.+
6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+