Kumbukumbu la Torati 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha utasema hivi mbele za Yehova Mungu wako: ‘Nimeondoa sehemu takatifu kutoka katika nyumba yangu na kumpa Mlawi, mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ kama ulivyoniamuru. Sijavunja wala kupuuza amri zako.
13 Kisha utasema hivi mbele za Yehova Mungu wako: ‘Nimeondoa sehemu takatifu kutoka katika nyumba yangu na kumpa Mlawi, mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ kama ulivyoniamuru. Sijavunja wala kupuuza amri zako.