-
Yeremia 6:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Watawaokota kikamilifu Waisraeli watakaobaki kama zabibu za mwisho zilizo kwenye mzabibu.
Pitisha mkono wako tena kama mtu anayekusanya zabibu kwenye mizabibu.”
-